Skip to main content

Taarifa kwa Umma Kuhusu Mlipuko wa Homa ya Nguruwe Jijini Mwanza


Baada ya kuripotiwa ugonjwa wa Kipindupindu kutokea katika maeneo mbalimbali kanda ya Ziwa headlines zimerudi tena.
 
Uchunguzi uliofanywa na Maabara ya chuo kikuu cha Kilimo cha Sokoine SUA umethibitisha kuwepo kwa ugonjwa wa homa ya nguruwe katika Wilaya ya Nyamagana, Mwanza.
 
Katika taarifa iliyotolewa na Katibu tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mwanza, Yohana Sagenge amethibitisha kuwepo kwa ugonjwa huo ambao unasababishwa na Virusu aina ya African Swine fever Virus ambapo madhara yake ni makubwa na husababisha kifo kwa 100%. kwa wanyama hao.
 
Taarifa hiyo ilisomeka hivi
 
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAAOFISI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA
TAARIFA KWA UMMA. YAH: MLIPUKO WA UGONJWA WA HOMA YA NGURUWE
Kumetokea mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya Nguruwe (African Swine Fever) Wilaya yaNyamagana, Kata za Mabatini, Mirongo kishiri na Buhongwa na Igoma. Mlipuko huuumedhibitishwa kwa uchunguzi uliofanyawa na Maabara ya Chuo kikuu cha Kilimo chaSokoine (SUA)Ugonjwa wa Homa ya Nguruwe unasababishwa na Virusi (African Swine fever virus).Madhara yake ni makubwa kwa wafugaji na kiuchumi kwani husababisha vifo asilimia100 (100%) kwa Nguruwe wote walioambukizwa.Ugonjwa wa Homa ya Nguruwe
hauna chanjo wala tiba na hauambukiziBinadamu.
 Njia pekee ya kudhibiti ugonjwa huu ni kuzuia kueneoa kwa maambuzitoka eneo lenye maambukizi kwenda eneo lisiloambukizwa.
HATUA ZA TAHADHARI KUZUIA KUENEA KWA UGONJWA WA HOMA YANGURUWE
 
Wafugaji waepuke kununua Nguruwe kutoka kwenyeMaeneo/Mashamba yenye ugonjwa
 
Nguruwe wafugwe kwenye Mabanda imara na waepukekutembea ovyo
 
Nguruwe wasilishwe mizoga au masalio ya chakula kutokavyanzo visivyojulikana

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...