Skip to main content

Ukawa wamtetea Mkurugenzi wa Kinondoni Aliyesimamishwa kwa Ufisadi


Madiwani wa vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni wamemtetea Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Mhandisi Mussa Natty 7aliyesimamishwa kazi.
Mhandisi Natty alisimamishwa kazi kwa tuhuma za kushindwa kusiamia vyema mkataba wa ubinafsishaji wa ufukwe wa Coco Beach kwa diwani wa Mbagala Yusuf Manj pamoja na..............
kutowasimamia ipasavyo watumishi wake na kupelekea ujenzi wa baadhi ya barabara za manispaa hiyo chini ya kiwango.
Katika utetezi wao, madiwani hao wameeleza kuwa Mhandisi Natty amewajibishwa kisiasa zaidi kwa kuwa wakati wa uingiaji wa mkataba wa Coco Beach yeye alikuwa bado hajawa Mkurugenzi wa Manispaa hiyo.
Katika tamko lao, madiwani hao wameitaka serikali ya awamu ya tano kushughulikia mgogoro huo na kuangalia hatua za kisiasa zilizochukuliwa. Pia, waliahidi kuwa endapo watafanikiwa kushika manispaa hiyo watahakikisha maeneo yote ya umma yanakuwa katika hali salama na yanaufaidisha umma.
Mbali na tamko la madiwani hao, Mbunge wa jimbo la Ubungo, Saed Kubenea akiwa na diwani wa  kata ya Ubungo, Boniphace Jacob (Chadema), walionesha mikataba iliyoingiwa kati ya Manispaa ya Kinondoni na Yusuf Manji ambayo inaonesha kuwa wakati huo Natty hakuw Mkurugenzi wa manispaa hiyo. Walidai kuwa sababu zilizotumika ni za kisiasa kwakuwa mkugenzi huyo alitenda haki na kupelekea majimbo ya uchaguzi kuchukuliwa na Chadema.
“Kama kuna ufisadi umetokea hatutamtetea mtu na kama kuna mtu tunaona anaonewa hatutakaa kimya na hili la Natty tunamwomba Rais John Magufuli aunde tume ambayo haitawahusisha Tamisemi na wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog