Skip to main content

Uturuki Kuisaidia Tanzania Kufanikisha Mpango wa Elimu Bure


Serikali ya Uturuki imeahidi kuisaidia  Serikali ya Tanzania kufanikisha mpango wa utoaji wa elimu bure kwa wanafunzi utakaoanza January mwakani.

Hayo yalizungumzwa jana na Balozi wa Uturuki nchini Bi Yasemin Eralp  alipokuwa akizungumza na.......... Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson Mwansasu alipomtembelea ofisini kwake.

Balozi yasemin  Eralp aliainisha Serikali ya Uturuki imekuwa  ikisaidia  Tanzania katika miradi mbalimbali nakuwa na ushirikiano wa Mabunge  ya nchi hizo mbili ambao umeongeza mahusianio mazuri ya nchi hizo, mbali na ushirikiano wa Bunge ameweka wazi kuwa serikali yake ya Uturuki  inaweza kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuwezesha miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa barabara, ujenzi wa maktaba za shule,ujenzi wa viwanda na ujenzi wa vituo vya Afya na Hospitali nchini.

“Katika kuunga  mkono mpango wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kutoa elimu bure kwa watanzania kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari tuko tayari kushirikiana na serikali kwa kutoa msaada  wa vifaa kwa wanafunzi kama vile vitabu, kompyuta na kujenga maktaba katika shule mbalimbali”alisema Balozi Eralp.

Naye Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson Mwansasu aliishukuru Serikali ya Uturuki kwa kusaidia  Tanzania katika miradi ya kimaendeleo na kuzidi kuomba ushirikiano zaidi toka kwao hasa katika maswala ya Bunge katika nchi hizo.
 
“Tunaishukuru Serikali ya Uturuki kwa ushirikiano wao  katika  maswala ya Bunge na kujenga mahusiano mazuri na Tanzania na  hata katika miradi ya maendeleo ya jamii inayofadhiliwa na serikali ya Uturuki na tunaomba tuendeleza mahusiano zaidi katika mahusiano ya mabunge ya nchi hizi mbili ” alisema Dkt Tulia.

Tanzania imekuwa na mahusiano mazuri na Uturuki katika maswala ya Bunge na mwaka 2010 wawakilishi toka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya aliyekuwa Spika wa Bunge hilo Mhe. Samwel Sitta walitembelea Bunge la Uturuki kwa mwaliko wa aliyekuwa  Spika wa Bunge la Uturuki wakati huo Mhe.  Mehmet Ali Sahim.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog