Skip to main content

Watu 8 Wafikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Kuua Ng'ombe 151


WATU wanne wamefikishwa mahakamani kwa mashtaka ya kuua ng’ombe 151 wenye thamni ya Sh milioni 60.4, mali ya............ mfugaji, Shabani Kidaini.

Watu hao, wote wakazi wa Turiani wilayani Mvomero mkoa wa Morogoro, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa huo.

Waliopandishwa kizimbani na kusomewa mashtaka hayo na wakili wa Serikali, Teodora Mlelwa, mbele ya hakimu Agripina Kimaze, aliwataja washtakiwa hao ni Ally Ramadhani (64), Mussa Salumu (46), Mathew Daniael (46) na Imanuel Dismas (42) .

Mwanasheria huyo wa serikali alidai kuwa washtakiwa hao bila kibali halali huku wakijua kufanya hivyo ni kosa waliwaua ng’ombe hao kwa kuwakatakata na mapanga sehemu mbalimbali za miili yao. Washtakiwa hao kwa pamoja walikana mashtaka hayo na kurudishwa rumande baada ya kushindwa kukamilisha masharti ya dhamana zao.

Mahakama hiyo iliwataka kila mmoja kuwasilisha hati ya mali isiyohamishika yenye thamani ya Sh milioni 15. Kesi hiyo itatajwa tena Januari 7, 2016 ambapo upelelezi bado unaendelea.

Katika hatua nyingine, Michael Kityanga (54) mkazi wa kijiji cha Msangalilo, Turiani wilayani Mvomero alipandishwa kizimbani katika mahakama hiyo mbele ya hakimu Regina Futakamba, kujibu mashtaka matatu yaliyokuwa yakimkabili. Mashitaka hayo ni kumjeruhi askari, kupora silaha ya askari na kuharibu mali ambayo ni gari la polisi.

Katika mashtaka ya kwanza, mwendesha mashtaka ambaye ni mwanasheria wa Serikali, Veronica Chacha alidai kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo Desemba 13 , mwaka huu mwaka huu katika kijiji cha Dihinda, Turiani, wilaya ya Mvomero.

Mwanasheria huyo alidai kuwa mshtakiwa huyo aliiba bunduki ya kufyatulia mabomu ya machozi, ikiwa na mabomu ya machozi 10, mali ya Jeshi la Polisi Tanzania. Alidai kuwa kabla ya kuiba bunduki hiyo, alimjeruhi askari aliyekuwa akiitumia, Konstebo Peter wa Kituo cha Polisi Dakawa kwa kumkatakata kwa panga na kumchoma mshale.

Katika shtaka la pili, mshitakiwa huyo anadaiwa kuwa alimjeruhi askari polisi, sajini wa upelelezi Mkaze kwa kumchoma mshale mbavuni. Katika mashtaka ya tatu, mshtakiwa huyo alidaiwa kuharibu mali ambayo ni gari la polisi aina ya Toyota Land Cruiser lenye namba PT 0723 kwa kuvunja vioo na mlango wa gari hilo.

Mshtakiwa huyo alikana mashtaka yote na kurudishwa rumande kwa kuwa kesi hiyo kisheria haina dhamana. Kesi hiyo itatajwa tena Januari 6, 2016 na upelelezi bado unaendelea

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog