Skip to main content

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Muhongo Aagiza Wala Rushwa Wakamatwe


WAZIRI wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ameuagiza uongozi wa mkoa wa Kagera,Taasisi ya Kuzuia na Kupamba na Rushwa (Takukuru) na ...............vyombo vya dola, kuwashughulikia wala rushwa katika mradi ya umeme vijijini.

Amezitaka taasisi hizo na uongozi huo, kuchunguza na kuwabaini wanaojihusisha na vitendo hivyo katika mradi huo, unaosimamiwa na Wakala wa Umeme Vijijini (REA), ili wawachukulie hatua ikiwamo kuwafikisha mahakamani.

Alitoa kauli hiyo jana baada ya kupata malalamiko kutoka kwa wananchi na madiwani wanne wa Halmashauri ya wilaya ya Karagwe , wakiongozwa na Mbunge wao, Innocent Bashungwa, ambapo walisema wafanyakazi wa kampuni hiyo wamekuwa wakitoa umeme kwa watu wanaowapatia fedha za pembeni na kusababisha hata ramani ya ufungaji umeme kutofuatwa.

Walisema kwa nyakati tofauti kuwa watu wanaojitambulisha kuwa wanafunga umeme vijijni, wamekuwa wakiwataka wananchi watoe chochote kuanzia Sh 75,000 na kuendelea wakati wameishalipia Sh 27,000 zinazotakiwa kupata huduma hiyo.

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, John Mongella alisema amejaribu kufanya utafiti na kugundua kuwa hali hiyo imekuwa ikisababishwa na usimamizi hafifu wa kampuni inayosimamia mradi wa REA.

Wakati huohuo Waziri Muhongo ametaka uongozi wa Shirika la Umeme (Tanesco) mkoa na wilaya ya Karagwe na mkandarasi anayehusika na mradi wa REA, kujibu tuhuma hizo kama wameshazisikia na wamezitatua vipi.

Mhandisi Mshauri wa kampuni ya Urbanand Rural inayoshughulikia ufungaji umeme wa REA eneo hilo, Julius Kateti , alithibitisha kuwepo kwa udanganyifu unaofanywa na baadhi ya wafanyakazi wake wasio waaminifu.

Alisema kutokana na hilo, mpaka sasa ameshawafukuza kazi zaidi ya wafanyakazi 100 kati ya 680 huku kesi nane zikiwa Polisi. 

Baada ya jibu hilo, Muhongo alisema kuwa tatizo hilo limeonekana ni la mkoa mzima na ndipo aliagiza Mkurugenzi wa Usambazaji wa Umeme nchini kutoka REA makao makuu, kufika mkoani Kagera mara moja ili kukaa na uongozi wa Tanesco na wa mkoa wa Kagera kuhakikisha wanatatua masuala hayo.

Meneja wa Tanesco Kanda ya Ziwa, Amos Maganga alimweleza mkandarasi wa REA kuwa ikibainika alichepusha mradi na kupeleka nje ya kilometa 453 za awamu hii kinyume cha mkataba, Tanesco haitatoa fedha ya Serikali kulipia ukiukwaji huo, bali mkandarasi atawajibika mwenyewe.

Akifafanua hilo, Profesa Muhongo alisema serikali imeweka azimio kuwa kampuni itakayobainika kunyanyasa wananchi, haipaswi kupata kazi tena katika awamu zijazo, kwani Watanzania wamechoka na ahadi zisizotekelezeka.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog