Skip to main content

CCM Kuwashitaki Wakuu wa Shule 15 Kwa Ubadhirifu wa Fedha


JUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) inakusudia kuwafikisha wakuu wa shule zake 15 kwenye vyombo vya sheria kutokana na madai ya ubadhirifu wa fedha.

Akizungumza jana jijini Dar es SaIaam, Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Abdallah Bulembo alisema zaidi ya shule 26 walizozifanyia ukaguzi, 15 zimekutwa zikiwa na upungufu na kubwa ikiwa ni pamoja na ubadhirifu wa fedha.

“Katika ukaguzi tulioufanya, tumebaini tatizo kubwa kwenye matumizi, watu wamegeuza shule kuwa kichaka cha kutafuna fedha, sasa hawa tutawafikisha kwenye vyombo vya sheria,” alisema Bulembo.

Alitoa mfano wa walimu wa shule za Tegeta, Tabata na Mwembe Tongwa ambao wameshafikishwa mahakamani kutokana na ubadhirifu. 

Aidha, Bulembo alisema taasisi yake imejizatiti katika kuhakikisha inabaki katika soko la elimu kwa kuimarisha na kutoa elimu bora katika shule wanazomiliki.

“ Kwa sasa Serikali imejipanga kuboresha shule zake, hivyo kutakuwa na ushindani wa kupata wanafunzi, ili tubakie kwenye soko ni lazima tuimarishe shule zetu,” alisema. 

Bulembo alisema pia taasisi yake imejikita katika kuanzisha vyuo mbalimbali vya elimu ya juu kwa fani mbalimbali ikiwamo kozi ya ualimu.

Akizungumzia ada elekezi, Bulembo alisema anaamini serikali itakuja na ada elekezi ambayo inaendana na wakati uliopo kwani kuendesha shule kuna gharama nyingi ambazo mzazi anachangia kupitia ada.

Serikali pamoja na kufuta ada kwa shule inazozimiliki kuanzia shule za msingi hadi kidato cha nne, inakusudia kuja na ada elekezi kwa shule binafsi lengo likiwa ni kuwapunguzia mzigo wananchi.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog