Skip to main content

Mwanafunzi wa Miaka 13 Aozeshwa kwa Ng’ombe 13

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Mika Nyange

Mtoto mwenye umri wa miaka 13 anayesoma darasa la sita katika Shule ya Msingi Wishiteleja wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga, ameozeshwa kwa nguvu na wazazi wake baada ya kupokea mahari ya ng’ombe 13.

Akizungumza na waandishi wa habari mjini Shinyanga juzi, Mkurugenzi wa Shirika la AGAPE, John Myola alisema mwanafunzi huyo alifungishwa ndoa ya kimila Septemba 25, mwaka jana katika Kitongoji cha Nyamikoma Kijiji cha Buchambi wilayani Kishapu.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Shinyanga, Mika Nyange alisema hakuwa na taarifa kuhusu tukio hilo na aliahidi kuwasiliana na Mkuu wa Polisi wilayani Kishapu, ampatie taarifa kamili aitoe rasmi kwa waandishi wa habari.

Hata hivyo,alipotafutwa Mkuu wa Wilaya ya Kishapu, Hawa Ngh’umbi alikiri  kupokea nakala ya barua kutoka Agape iliyozungumzia juu ya kufungishwa ndoa kwa mtoto huyo. 

Alikemea kitendo hicho na kuahidi kumsaka mtuhumiwa akamatwe na kufikishwa mahakamani.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Shirika la Agape, Myola, siku ya tukio, ofisi yake ilipokea taarifa kutoka kwa wasamaria wema ambao walieleza kusikitishwa na kitendo cha mtoto huyo mdogo, kuozeshwa kinyume cha sheria za nchi na kudai kuwa zipo shutuma za viongozi wa serikali ya kijiji na kitongoji kushiriki.

Alisema baada ya kupokea taarifa hizo, alikwenda katika eneo la tukio akiongozana na polisi kutoka kituo kidogo cha Maganzo wilayani Kishapu, ambapo walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa na viongozi wa serikali ya kitongoji na kijiji, waliodaiwa kuhusika katika suala la kupatanisha mahari.

Mwanamume aliyekuwa akifunga ndoa na mwanafunzi huyo, alitajwa kwa jina la Emmanuel Njile, mkazi wa Kijiji cha Isemelo Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, ambaye alikamatwa na kufikishwa kituo cha polisi, alikofunguliwa jalada la kesi namba RB/ MGZ/495/2015 na kuwekwa mahabusu.

Alidai kuwa baada ya kusambaratisha ndoa hiyo, walipewa fomu namba tatu (PF. 3) ili wampeleke mtoto huyo hospitali, ambako alifanyiwa vipimo na daktari, ambako hata hivyo inadaiwa ilibainika hakuwa ameingiliwa kimwili.

Alisema siku mbili baadaye, Septemba 27, 2015 usiku saa 2, walipokea taarifa za kuwepo kwa kikao cha siri katika baa moja ya mjini Maganzo, kilichowahusisha baadhi ya viongozi na watendaji (wakiwemo polisi) waliokutana na kaka wa mtoto, wakijadili jambo ambalo haikufahamika ni nini.

“Kwa kweli tulipata wasiwasi juu ya kikao hicho cha usiku, tuliamini kuna mpango mchafu ulikuwa ukifanyika, na kweli asubuhi yake, Septemba 28, 2015, tulielezwa kuwa mtuhumiwa alikuwa ametolewa mahabusu na kuruhusiwa kurudi nyumbani, ambako alimchukua mtoto aliyeozeshwa na kuondoka naye.

 “Tulifuatilia na kuelezwa kuwa amekwenda kwao Kijiji cha Isemelo wilayani Igunga Mkoa wa Tabora ambako hivi sasa wanaishi kama mke na mume.Tulimwandikia barua Mkuu wa Polisi wilayani Kishapu ili kupata ufafanuzi juu ya kesi hiyo".

Akifafanua kwamba, katika barua iliyotoka kwa Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kishapu yenye Kumb. Na. A.20/08/ Vol.1/13 ya Desemba 14, 2015, mtuhumiwa aliyetajwa kuhusika na kesi iliyofunguliwa kwa jalada namba RB/ MGZ/495/2015 alikuwa ni Daudi Sagi badala ya Emmanuel Njile, hatua ambayo alisema walishangaa

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b