Skip to main content

Noti Bandia Zawaliza Wafanyabiashara Msimu wa Christmas

Misimu wa sikuu za Christmas na Mwaka Mpya ilikuwa na neema kwa wafanyabiashara wengi nchini lakini iliacha vilio vya utapeli kwa baadhi wa wafanyabiashara hususan maeneo ya pwani waliojikuta wametoa mali halali na kupewa fedha bandia.

Baadhi ya wamiliki wa Maduka na watoa huduma za simu pesa wilayani Kibaha mkoani Pwani wamepata hasara kubwa baada ya kusambaa kwa noti bandia za shilingi 10,000 katika eneo hilo katika msimu wa sikukuu hizo.

Eneo la Maili Moja na Kibaha ndio maeneo yanayodaiwa kuathirika zaidi na udanganyifu huo wa kutumia noti bandia.

Mmoja kati ya wafanyabiashara wa Bar, Lubul Lebulu aliwaambia waandishi wa habari kuwa alibaini kuwa alipoteza shilingi 120,000 wakati akifunga mahesabu yake ya sikukuu ya Christmas baada ya kubaini kuwa kuna noti bandia zilizokuwa zimechanganywa na fedha halali.

“Kuna mzunguko mkubwa wa noti bandia hapa katika eneo letu. Sio mimi pekee, wafanyabiashara wengi wamepata hasara kama hii. Watu wanapaswa kuwa makini zaidi kwa sababu suala hilo limeshabainika,”alisema Lubul.

Kamanda wa polisi mkoa wa Pwani, Boniveture Munishogi alisema kuwa jeshi hilo linamshikilia kijana mmoja kuhusiana na tuhuma za kujihusisha na udanganyifu wa kutumia noti bandia. 

Aliwataka wananchi wote kuhakikisha wanaripoti polisi haraka pale wanapoona noti bandia ili kulisaidia jeshi hilo kufuatilia na kuchukua hatua.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog