Skip to main content

Serikali Kugawa BURE Mbegu za Mazao Yanayohimili Ukame kwa Wananchi Wanao kabiliwa na Njaa


Serikali kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu maafa imeanza mkakati wa menejimenti ya maafa ya ukame kwa kuwawezesha wananchi wanao kabiliwa na njaa kuweza kukabili maafa hayo kwa kuwagawia wananchi hao mbegu bure za mazao yanayohimili ukame katika halmashauri husika.

Kufuatia hali ya ukame ambao umezikumba baadhi ya halimashauri hapa nchini katika msimu wa 2014/2015, baadhi ya halmashauri hizo zilipata upungufu wa chakula hali iliyopelekea halmashauri hizo kuomba chakula cha msaada Ofisi ya Waziri Mkuu Idara ya Uratibu maafa.

Akiongea wakati wa ziara ya kukagua hali ya upungufu wa chakula katika kata ya Malengamakali, wilayani Iringa Tarehe 11 Januari, 2016, Mkurugenzi wa Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya amebainisha kuwa mkakati uliopo ni kuwahamasisha wananchi walime mazao yanayohimili ukame.

“Nashauri watendaji wakuu wa Halmashauri na mikoa kupitia kamati za maafa waorodheshe wananchi wote wanaohitaji mbegu hizo na kuwasilisha katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu maafa na Ofisi yangu itatuma fedha za kununua mbegu hizo ili zigawiwe bure kwa wananchi wengine wenye upungufu wa chakula, tunahitaji wananchi wote wawe na uhakika wa chakula .” amesema Brig. Jen. Msuya.

Awali akiongea katika ziara hiyo, Mkuu wa Wilaya ya Halmashauri ya Iringa, Richard Kasesela, alibainisha kuwa katika kukabiliana na upungufu wa hali ya chakula halmashauri hiyo imefanya uhamasishaji wa kilimo cha zao la Mtama amabalo ni zao linalovumilia ukame na mazao mengine yanayokomaa kwa muda mfupi kama vile viazi vitamu.

“Uhamasishaji umefanyika katika Tarafa za Isimani, Idodi, Pawaga na Kalenga (mfyome), tumeanzisha na sheria ndogo ya kilimo ambayo inaitaka kila kaya kulima mtama ekari mbili katika kata hizi na atakayekiuka sheria hii adhabu yake ni kulipa kiasi cha fedha shilingi 50,000/=” alisisitiza Kasesela.

Katika kukabiliana na upungufu wa chakula Halmashauri ya Iringa iliomba chakula cha msaada kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Idara ya Uratibu Maafa, ikiwa hadi kufikia Disemba 2015, tayari tani 4, 546 zilikuwa zimeletwa wiliyani humo ambazo zimesambazwa katika Kata 11, vijiji 42 katika maeneo yenye upungufu wa chakula.

Comments

Popular posts from this blog

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b