Skip to main content

Waziri Mkuu Majaliwa Kutikisa Mkoa wa Ruvuma Kwa Siku 3 Kuanzia Leo



WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa leo ataanza ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma, kuhimiza na kukagua shughuli mbalimbali za...... maendeleo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa, Said Mwambungu alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake mjini Songea jana.

Alisema, Waziri Mkuu atawasili katika Uwanja wa Ndege wa Songea saa 6 mchana, ambapo atapokelewa na viongozi wa serikali na vyama vya siasa. Mwambungu alisema atakapowasili mjini Songea, Waziri Mkuu atakwenda moja kwa moja Ikulu Ndogo kisha kusomewa taarifa ya mkoa.

Kesho asubuhi Waziri Mkuu atafungua Benki ya Posta Tawi la Songea na kutembelea Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma mjini Songea, ambapo atakagua kila kitengo na kuzungumza na wafanyakazi wa hospitali. Pia Waziri Mkuu atazungumza na watumishi wa idara zote za serikali waliopo mjini Songea.

Mwambungu alisema baada ya kumaliza kuzungumza na watumishi hao, atatembelea Kitengo cha Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) na kukagua maghala yanayotumika kwa ajili ya kuhifadhi chakula.

Aidha, atatembelea kuona ujenzi wa makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Songea Vijijini katika kijiji cha Lundusi kata ya Maposeni na kuzungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara. Mkuu huyo wa mkoa alisema keshokutwa Waziri Mkuu atafanya majumuisho ya ziara yake mjini Songea.

Mwambungu aliomba wananchi kujitokeza kwa wingi katika maeneo yote ambayo Waziri Mkuu atatembelea, ikiwemo barabarani, ili kumlaki. Hii itakuwa ni ziara ya pili ya kiserikali ya Waziri Mkuu, tangu alipoteuliwa kushika wadhifa.

Wiki iliyopita alikuwa mkoani Kigoma, alikotembelea miradi mbalimbali na kukutana na wafanyakazi wa idara mbalimbali za serikali, kufanya mikutano ya hadhara na kuzungumza na wananchi.

Akiwa huko, Waziri Mkuu Majaliwa alibaini kuwepo kwa ubadhirifu wa fedha za umma, unaohusisha uuzwaji wa jengo la Shirika la Maendeleo Kigoma (KIGODECO) kwa bei ya kutupwa.

Majaliwa alitoa siku mbili kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma, Dk John Ndunguru kukamilisha uchunguzi wake na kumpatia taarifa ya maandishi juu ya tuhuma za ubadhirifu huo.

Aliagiza pia uchunguzi juu ya uuzaji wa viwanja 12 vya Manispaa ya Kigoma/Ujiji, unaodaiwa kukiuka taratibu. Alitoa maagizo hayo Desemba 30, mwaka jana wakati akizungumza na viongozi na watendaji wa mkoa huo, alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara yake ya siku mbili.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog