Skip to main content

VYOMBO VYA GWAJIMA VYAWA GUMZO VIWANJA VYA RELI ARUSHA, AANZA MKUTANO LEO

Maandalizi yakiwa hatua za mwisho kukamilika hapo jana.
Ikiwa leo unatazimiwa kuanza rasmi mkutano mkubwa wa kiroho katika viwanja vya reli mkoani Arusha utakaoongozwa na kanisa la Ufufuo na Uzima chini ya askofu Jospehat Gwajima kiongozi wa kanisa hilo, tayari hapo jana wakazi wa eneo hilo na jirani walianza kukusanyika viwanjani hapo baada ya kusikia muziki wa kanisa hilo utakaotumika ukijaribiwa.

Kati ya watu waliosogea karibu ni pamoja na watumishi kutoka makanisa mbalimbali mkoani humo ambao hawakuacha kusema kwa muziki waliouona uwanjani hapo basi watu wataokoka kupitia muziki, ukiacha watumishi hao pia watu mbalimbali walionekana kujipanga wakiangalia ukubwa wa vyombo hivyo ambavyo vimening'inizwa kwenye vyuma maalumu na kujipanga sawia.

Kanisa hilo linafanya kwa mara ya kwanza mkutano mkubwa wa injili mkoani Arusha ambao unaanza siku ya leo tarehe 27 mpaka tarehe 10 mwezi ujao ukiwa na waimbaji mbalimbali akiwemo Flora Mbasha, John Lisu, Jackson Benty, Maximilian Machumu a.k.a Mwanamapinduzi, kundi la sifa na kuabudu la kanisa hilo wakifahamika kama Platform pamoja na waimbaji wengine, kisha mkutano huo utahamia mkoani Kilimanjaro.

Ufungaji vyombo ulipoanza, hapa vikishushwa kutoka katika malori yanayomilikiwa na kanisa hilo.
Vyombo vilipokuwa vikipandishwa.
Baadhi ya watumishi waliovutwa na kishindo cha muziki uwanjani hapo.
Baadhi ya mabasi ya kanisa hilo yakiwa yamepaki jijini Arusha.
Watu wakiwa wamejitokeza barabarani kusikiliza matangazo ya mkutano huo kupitia gari la matangazo. Picha zote kwahisani ya Ufufuo na Uzima.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog